Gurudumu la Uchumi

Gurudumu la Uchumi

RFI Kiswahili

Episodes 24
Avg. Duration 10m
Activity Highly Active
Since Jul 2025
Latest Episode Apr 2026

Publishing Details

Schedule
Every 2 Weeks
Format
Episodic
Consistency
56%
Hosting
apis.rfi.fr

Contact & Outreach

About This Podcast

Fahamu masuala kadha wa kadha kuhusu uchumi kama vile, namna ya kupambana na umaskini, mfumuko wa bei, kushamiri kwa matumizi ya dola na athari za kuyumba kwa uchumi wa dunia kwa nchi za Afrika. Mada hizi zinafanyiwa utafiti wa kina na zinazungumzwa kwa lugha rahisi inayoeleweka ili kukufanya uelewe na usichoke kusikiliza .

Explore Statistics

Recent Episodes

Kwa nini vikwazo vya usafirishaji ni kizuizi kikubwa cha biashara Afrika Mashariki

Apr 01, 2026 9m

Kupitia ripoti iliyozinduliwa juma hili na shirikisho la wazalishaji nchini Kenya, inaonyesha kuwa kusafirisha bidhaa katika njia muhimu za biashara za Afrika bado ni ghali na haitabiriki, ambapo…

Uwazi kwenye ubinafsishaji wa mashirika ya uma ni muhimu kwa maendeleo

Mar 11, 2026 10m

Msikilizaji Katika miaka ya hivi karibuni, nchi nyingi za Afrika Mashariki zimekuwa zikifanya mageuzi makubwa ya kiuchumi. Mojawapo ya mageuzi hayo ni ubinafsishaji wa mashirika ya umma. Leo…

Vita ya Iran: Afrika imejipangaje kukabiliana na athari za kiuchumi

Mar 04, 2026 10m

Msikilizaji mara zote mgogoro wa mashariki ya kati, umekuwa na athari hasi za kiuchumi na biashara duniani, Swali kubwa tunajiuliza hivi leo ni Je, Afrika iko salama kiasi gani? Vita hivi vitaathiri…

Ushirikishwaji wa wanawake katika sekta za kiuchumi chanzo cha ukuaji wa uchumi

Feb 25, 2026 10m

Benki ya Dunia inasema hata katika nchi zenye sheria za kisasa kuhusu usawa kazini, nchi hizo zimeshindwa kuzitekeleza, hadi sasa hakuna nchi iliyofikia kiwango cha juu cha usawa kazini, n ani…

Ushirikiano wa kikanda hatarini: Nakisi ya bajeti yaibua maswali mapya

Feb 18, 2026 9m

Juma hili tunajadili kuhusu mustakabali wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, hasa wakati huu kukiwa na taarifa kuwa inakabiliwa na mgogoro wa kifedha. Taarifa zinaonesha kuwa Jumuiya hiyo inakabiliwa na…

Dubai: Viongozi wa dunia waangazia mageuzi ya sera, ubunifu na mifumo mipya ya utawala

Feb 05, 2026 9m

Mkutano wa siku tatu wa Serikali za Dunia mwaka 2026 huko Dubai umesisitiza kuhusu udhibiti wa Akili Mnemba, AI, mageuzi ya kidijitali, uchumi endelevu na thabiti duniani.  Viongozi mbalimbali…

Ushindani wa mataifa makubwa na mustakabali wa uchumi wa Dunia

Jan 21, 2026 10m

Msikilizaji mataifa makubwa kama Marekani, China, Urusi na Ulaya yanaendelea kushindana kiuchumi, kuanzia kwenye biashara, teknolojia, nishati na rasilimali. Lakini je, ushindani wao unaathiri vipi…

Kenya Kuwa Singapore ya Afrika: Ndoto au Uhalisia?

Jan 14, 2026 9m

Msikilizaji Rais wa Kenya, William Ruto, ameendelea kusisitiza azma ya kuifanya nchi yake kuwa Singapore ya Afrika, suala ambalo limeibua mjadala mkali nchini humo baadhi wakisema ni suala ambalo…

Kutoka Ufugaji wa Mifugo hadi Samaki: Mabadiliko ya Kiuchumi Kajiado

Jan 07, 2026 9m

Msikilizaji jamii ya Wamaasai kwa muda mrefu imekuwa ikitegemea ufugaji wa mifugo kama chanzo kikuu cha riziki na chakula, hata hivyo, mabadiliko ya tabianchi yaliyoambatana na ukame wa mara kwa mara…

Sherehe za mwisho wa mwaka zisikuache bila pesa, fahamu mbinu za kudhibiti matumizi yako.

Dec 24, 2025 10m

Tunapofika mwisho wa mwaka, jamii huingia katika kipindi cha sikukuu kama krismasi na mwaka mpya, ni wakati wa furaha, sherehe na kukutana na familia, lakini pia ni kipindi ambacho matumizi ya fedha…

Ripoti ya Oxfam-Kenya: Uchumi unakua, lakini Wakenya wengi ni masikini, kwa nini?

Dec 03, 2025 9m

Msikilizaji juma lililopita shirika la kimataifa la kupambana na umasikini, OXFAM nchini Kenya, ilichapisha ripoti inayoonesha kuongezeka kwa pengo la usawa. Kwa mujibu wa shirika hilo, pengo la…

Mapinduzi ya Elimu Bondo: Jinsi Teknolojia Inavyowawezesha Wasichana Kuandika Kesho Yao

Nov 26, 2025 10m

Katika maeneo mengi nchini, hasa magharibi mwa Kenya, wasichana wengi wanaojikuta wakisuasua katika mitihani ya sekondari huishia kwenye ndoa za mapema na mimba za utotoni—mazingira yanayozima ndoto…

Mandale: Kinywaji Cha Asili Kinachowainua Wanawake wa Goma

Nov 19, 2025 10m

Msikilizaji katika uhalisia mgumu wa maisha ya wakazi wa Goma, hususan baada ya mji huo kuangukia mikononi mwa waasi wa AFC/M23, imeibuka hadithi ya kipekee ya uvumilivu na ubunifu wa wanawake. Kati…

Nini hatma ya Afrika baada ya kumalizika kwa mkataba wa kibiashara na Marekani ‘AGOA’

Oct 01, 2025 10m

Mkataba wa kibiashara kati ya Afrika na Marekani maarufu kama AGOA umefika tamati, ni mkataba uliokuwa unatoa fursa kwa nchi za Afrika kufikia soko la Marekani bila vikwazo vya kiushuru, bara hili…

Vijana na ujasiriamali Afrika Mashariki: Nini kifanyike kuwawezesha?

Sep 24, 2025 10m

Msikilizaji katika nchi zote za Afrika Mashariki, kuna wimbi jipya la matamanio kuhusu hali ya biashara, vijana, wakiongozwa na ubunifu na ustahimilivu! Wakigeuza harakati zao kuwa biashara…

Mzunguko haramu wa Fedha: Kizuizi kisichoonekana kwa ustawi wa Afrika

Sep 03, 2025 10m

Kulingana na ripoti ya umoja wa Afrika, bara hilo linapoteza takribani dola za Marekani bilioni 88 kila mwaka kupitia njia zisizo halali kama ukwepaji kodi, utakatishaji fedha, utoroshaji wa mali na…

Kuwekeza katika Uchumi wa Bluu: Mkakati wa uhakika au Kamari hatari?

Aug 27, 2025 10m

Leo hii tunatupia jicho uchumi wa bluu, eneo la kiuchumi linalotajwa kama suluhisho jipya la maendeleo endelevu, kukuza ajira na ubunifu, hata hivyo chini ya uso wa maji, maswali magumu yanajitokeza:…

Huduma jumuishi za kifedha kidijitali, Afrika iko wapi?

Aug 13, 2025 10m

Katika makala ya Gurudumu la Uchumi, tunazungumzia mabadiliko makubwa ya kiuchumi kuhusu namna malipo ya kidijitali yanavyochochea huduma jumuishi za kifedha, ukuaji wa uchumi, na mageuzi ya…

Vijana wamepata elimu lakini hawana ajira: Changamoto ya ujuzi Afrika Mashariki

Aug 06, 2025 9m

Kenya, Uganda, Tanzania, Rwanda, na kwingineko, ukosefu wa ajira kwa vijana umesalia kuwa wa kiwango cha juu, wakati huu maelfu ya vijana wakihitimu vyuo vikuu kila mwaka.    Bado tuko na Ali Mkimo,…

Bomu linalosubiri kulipuka: Kwanini vijana wa Afrika Mashariki hawana ajira licha ya kuwa na shahada

Jul 30, 2025 9m

Msikilizaji leo tunalijadili swali ambalo linaathiri mamilioni ya vijana katika ukanda wa Afrika Mashariki, pamoja na wageni tutajiuliza, Je, mfumo wa elimu unawaandaa vijana kupata ajira ambazo…

Frequently Asked Questions

How many episodes does Gurudumu la Uchumi have?

Gurudumu la Uchumi has published 24 episodes since July 2025, covering topics in Business.

Is Gurudumu la Uchumi still active?

Gurudumu la Uchumi is currently highly active with new episodes every 2 weeks. Average episode length is 10m.

How do I contact Gurudumu la Uchumi for sponsorship or guest appearances?

Sign up on Grep.FM to access contact details for Gurudumu la Uchumi, including email and social media links.

Similar Podcasts